KESI LA LULU YATINGA TENA MAHAKAMANI KISUTU
habari za kitaifa 11:13 AM
Lulu (katikati ya askari, mbele) akipelekwa kizimbani leo.
Kesi ya mauaji inayomkabili msanii wa filamu za maigizo nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, leo ilifika tena, Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu Jijini Dar es Salaam ambapo upande wa mashitaka ulisema upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika hivyo kesi hiyo kuahirishwa mpaka Juni 18 mwaka huu.
