KIBAKA APEWA KICHAPO KIKALI BAADA YA KUNASWA AKIIBA UHINDINI JIJINI MBEYE

KIBAKA AKIWA ANAJIKIMU BAADA YA KUPOKEA KICHAPO KIKALI

MMOJA YA MWANANCHI AKIWA ANAMFUNGA KIBAKA HUYO
BAADHI YA WANANCHI WALIO FIKA KUSHUHUDIA TUKIO HILO MAPEMA LEO
BAADA YA KICHAPO KIKALI SANA KIBAKA ALIJIFANYA AMEZIMIA ILI WASIENDELEE KUMPIGA TENA
DOGO KIBAKA SASA AMEWEKWA NGUVUNI NA POLISI ALIYE FIKA ENEO HILO
SASA ANAPANDISHWA KWENYE GARI NA KUPELEKWA POLISI

******
ANGALIZO KWA WAKAZI WA JIJINI MBEYA HASA WAFANYA BIASHARA MADUKANI KUMEZUKA NA TABIA YA WATU KUWA MAKUNDI KAMA WANNE WANAINGIA DUKANAI KAMA WANATAKA NUNUA KITU WENGINE WAKIWA WANAKUPUMBAZA KWA STORI ZA KUULIZIA BIDHAA VIJANA WENGINE WANAKUWA WANAFANYA WIZI MUDA HUO HUO.
KUWENI MACHO.

Posted by Bigie on 2:19 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.