PICHA ZA UTUPU HAZINA UHUSIANO WOWOTE NA PENZI LAKO KWA MTU WAKO...NI KUDHALILISHANA TU

Kiumri anaonekana ni mdogo lakini kimatendo anaonekana ni mtu mzima.......
 Dalili zinaonesha kuwa hana daliliya kujuta hata kidogo kwa sababu hata  ukimwangalia amekaa katika  mkao wa kupiga picha.......kwa hiyo  ilikuwa ni ridhaa yake
Huenda  ilikuwa ni zawadi kwa mpenzi wake....lakini ni ukweli usiopingika  kuwa hakuna  zawadi za  picha za utupu maana  watu si waaminifu........

Mkizinguana tu, picha  zinazagaa mitandaoni. kuweni makini  akina dada zetu

Picha za  utupu hazina uhusiano wowote kwa mpenzi wako....kama anakupenda,hawezi kukudhalisha kwa kukupiga ukiwa mtupu

Posted by Bigie on 8:11 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.