UPDATE: HALI YA MAMA YAKE DIAMOND NI MBAYA


Usiku huu Diamond kupitia website yake ameweka picha za mama yake ambaye ni mgonjwa aliyempeleka Marie Stopes baada ya kuzidiwa.

 Katika picha hizo Diamond akiwa na mtu aitwaye Dallas anaonekana mtu mwenye majonzi na wakati mwingine akilia kuashiria kuwa kweli mama yake amezidiwa.

Katika picha hizo pia mama yake anaonekana akitapika. Awali Diamond alikuwa ameweka maelezo kusimulia mkasa mzima lakini baadaye ameyatoa na kubakiza picha pekee yake. 

IMG_0046IMG_0001IMG_0004IMG_0008IMG_0016IMG_0021IMG_0027IMG_0031IMG_0033IMG_0038IMG_0040IMG_0042IMG_0044IMG_0046IMG_0049IMG_0050IMG_0051IMG_0053IMG_0054MARIE STOPES

Posted by Bigie on 6:09 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.