AUNT EZEKIEL KAFUNGISHWA NDOA KIMYA KIMYA


 Hizi ni picha za harusi ya Aunt Ezekiel ambazo zimesambaa kwa kasi mtandaoni.......


Mojawapo ya picha hizo,Aunt anaonekana akisaini  CHETI cha ndoa kwa mujibu wa taratibu za kiisilamu.......

 Mapema mwaka huu,Aunt alivishwa pete ya uchumba na mpenzi wake  Sunday Demonte  huko Dubai.......

PICHA KAMILI ZINAKUJA....

Posted by Bigie on 3:28 PM. Filed under , , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.