KUNA TETESI KUWA "RAY C" AMEKUWA TEJA KISA KIKIWA NI MADAWA YA KULEVYA.....HIVI SASA AMELAZWA

Kuna tetesi kuwa Ray C kwa sasa kawa teja la kutupwa na kwa sasa amelazwa hospitali moja huko mbulu.

 Dar kawakimbia waandishi wa habari. Tetesi zaidi zikipatikana zitaletwa kwenu wanajamvi. 

Uteja wake umemfikisha mahala pa kuwa akikutembelea nyumbani kwako, hasa ndugu lazima aondoke (aibe) na chochote hata kama ni ndala, kama ilivyo kawaida ya mateja wengine.....

HII  NDO RIPOTI YA MTANDAO WA  MSN



Posted by Bigie on 1:30 AM. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.