"NAHITAJI KUWA HURU NA NDO MAANA SINA MUME WALA BOY FRIEND"- DIANA EXAVERY.


MWIGIZAJI wa filamu katika tasnia ya filamu Diana Exavery anasema kuwa kazi yake ya filamu anavyoipenda anahitaji kuwa huru zaidi, kufuatia kupata uhuru huo inamradhimu kutokuwa na mahusiano na mwanaume yoyote kwani kwa kukubali kuwa chini ya mwanaume hatakuwa huru na kufanya kazi zake.


“Katika maisha yangu nahitaji sana kuwa huru na uhuru najua unapatikana pale mtu anapokuwa hana mahusiano na mwanaume, hilo ndilo naliona kwangu sahihi kwani ninapokuwa huru sipati mtu wa kunisumbua na kunizuia kazi zangu za sanaa kwa ujumla,”anasema Diana.

Msanii huyu alianza kung’ara katika filamu ya Mtunis iliyojulikana kwa jina la Best Wife, baadae alishiriki katika filamu ya Mrembo kikojozi, pia filamu ya Yatima asiyestahili, na hivi karibuni ameigiza katika filamu ya Binti Yangu kama

Posted by Bigie on 11:59 PM. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.