"NILIOLEWA NA KUACHIKA NDANI YA SIKU NNE.....KWA SASA SIKO TAYARI KUOLEWA TENA".....SKAINA


MIEZI kadhaa baada ya kuvunjika kwa ndoa yake iliyodumu kwa  siku nne, mwanadada  kutoka kiwanda cha filamu za Kibongo, Skyner Ally ‘Skaina’ ameiambia mpekuzi  kuwa kwa sasa hayupo tayari kuolewa tena kama ilivyokuwa mwanzo bali kuolewa kwake kutachukua muda mrefu.

Skaina alisema hana wazo la kuolewa ila akitokea mwanaume anayejitambua na ambaye anataka kuoa kweli, ataolewa, lakini siyo kama ilivyokuwa mwanzo kwani alipata mchumba kwa muda mfupi na kuolewa  jambo ambalo halikuwa na mafanikio.

Posted by Bigie on 7:36 PM. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.