MATOKEO YA UCHAGUZI WA MARENI NI UTATA BALAA....
habari za kitaifa, OBAMA 7:32 PM
Matokeo ya uchaguzi wa Marekani yameanza kupatikana huku kukiwa kuna kila dalili za kuwepo kwa mchuano mkali kati ya Obama na Mitt Romney. Tutawaletea kila kipya tutakachokipata.
