MISS TANZANIA 2010 AKUMBWA NA KASHFA YA PICHA ZA UCHI



Katika Hali ya Kushangaza leo asubuhi mitandaoni hasa Facebook blog yenye jina la Miss Geneviv Mpangala inasambazwa ikiwa na picha zinazosemekana ni zake za utupu (Hatuna Uhakika) na kusema kuwa anajiuza na number ya simu imetolewa....

Mtandao huu kwa kuangalia hiyo blog kwa makini  inaonekana kuna mtu ana bifunaye na hivyo kadhamiria  kumchafua au  kumuumbua ..

Tunasema hivi kwa sababu blog  hiyo ina post moja tu ambayo ndio hiyo ya huyo dada .....

Haya  ni baadhi ya maelezo katika blog hiyo:

Sasa inawezekana kuna mtu ametengeneza ili atimize lengo lake maana  ukiiangalia kwa makini ni kama haina uhalisia kwa asilimia flan...

Embu na wewe pitia blog hii na utoe maoni yako....

BLOG:   << HAPA>>

Posted by Bigie on 2:41 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.