UPDATE: MWILI WA MKE WA MTU UMEGANDANA NA MWANAUME ALIYEFUMANIWA NAYE.....WATU WAMEJAA TEMEKE NA MABOMU YANARUSHWA KILA KONA NA POLISI
habari za kitaifa, picha za utupu 3:49 AM
Kuna ripoti iliyotolewa na mashuhuda kwamba huko Temeke hospitali Dar es salaam leo kuna mwanamke mke wa mtu ambae amefikishwa hospitalini huku mwili wake ukiwa umegandana na mwanaume aliefumaniwa nae
HIZI NI BAADHI YA RIPOTI TOKA TEMEKE. BOFYA "PLAY" UZISIKILIZE
SHUKRANI KWA KUNDIZIMA LA CLOUDS FM
