HEMEDY PHP AKIRI KULIZIMIKIA TOTO LA KI NIGERIA.....



Msanii wa ‘Going Crazy’ Hemedy Suleiman aka PHD amekiri kupitia mtandao wa Twitter kuwa anamzimia mwanamuziki wa Nigeria, Tiwa Savage.

Kupitia Twitter Hemedy ameandika, “IN LOVE WITH TIWA SAVAGE……Daaaah.”

Hata hivyo Hemedy inabidi aendelee tu kuumia sababu Tiwa Savage anafly kwenye matawi mengine kabisa.

Posted by Bigie on 10:10 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.