MSICHANA WA MIAKA 6 AMWAGIWA MAJI YA MOTO SEHEMU ZAKE ZA SIRI

Mama mmoja mwenye umri wa miaka 26   ameusikitisha umma wa watu pale alipommwagia maji ya moto mtoto wake wa kike........

Mwanamama huyo bado anashikiliwa na POLISI kwaajili ya maelezo zaidi na wanaharakati wa kutetea haki za watoto wameonekana kulivalia njuga swala hili kwa kutangaza kumfungulia kesi mwanamama huyo.

Posted by Bigie on 10:48 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.