PICHA ZA SHILOLE "AKIPIGWA MISTARI" ( AKITONGOZWA).....



MSANII wa sinema na muziki wa Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Desemba 16, mwaka huu alinaswa gizani akiwa amejiweka kimahaba kwa mmoja wa waimbaji wa mwanamuziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Antoine Christophe Agbepa Mumba ‘Koffi Olomide’,
 
Tukio hilo lilitokea ndani ya Viwanja vya Leaders Club Kinondoni jijini Dar, ambapo Shilole alienda kwa ajili ya kushuhudia shoo ya mwanamuziki huyo.


Haikuweza kufahamika mara moja kama Shilole alimkubalia mshikaji huyo lakini wadakuzi wanadai baada ya shoo kumalizika, mwanamuziki huyo alimfuta tena Shilole na kuongozana naye hadi kwenye gari alilokwenda nalo pale ukumbini. 



Posted by Bigie on 4:16 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.