VIDEO YA WANAFUNZI WANNE WALIOPIGWA NA KUCHOMWA MOTO NA WANAKIJIJI KWA TUHUMA ZA WIZI WA SIMU


Huu  ni unyama uliotendwa na  wanakijiji kwa  wanafunzi wanne  wa chuo kikuu  cha UNIPORT  kwa tuhuma  za  wizi wa simu ......

Wanafunzi hao walifikia  hitimisho la maisha  ya  hapa duniani  baada  ya kupewa  kichapo kikali na  kisha kuchomwa moto.........

Mwenyezi mungu  awapumzishekwa amani......
 

Posted by Bigie on 2:47 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.