LAANA YA KUTEMBEA UCHI IMEKARIBIA.....


Hivi  sasa  jamii inalia  na mavazi ya  nusu  uchi.Lakini nadhani  baada  ya kitambo kifupi  dada  zetu  wataanza  kutembea  uchi......

Thamani  ya  mwanamke  imepungua  na maadili yamepotea.Kisa  na mkasa  ni  Utandawazi  huku  wengine wakisingizia  umasikini....

Kama tatizo  ni umasikini basi  ni  bora turudi kijijini  tukalime.... 

Posted by Bigie on 9:27 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.