TASWIRA MBALIMBALI TOKA NYUMBANI KWA MAREHEMU SAJUKI....
habari za kitaifa, sajuki 12:43 AM
Mazishi ya msanii mahiri wa tasnia ya filamu Juma Issa Kilowoko ‘Sajuki’ aliyefariki dunia juzi yanatarajiwa kufanyika leo mchana katika makaburi ya Kisutu baada ya sala ya Ijumaa.
Akiongea na mtandao huu, mwenyekiti wa kamati ya mazishi Steve Nyerere amesema kuwa msiba huu unasimamiwa na shirikisho na wasanii wa filamu na wadau wa tasnia hiyo.
