AMBER ALIACHIA TUMBO LA WIZ...


MWANAMITINDO mwenye makeke mengi Amber Rose ameonyesha mimba yake kubwa wakati wa utoaji wa tuzo za Grammy.

Amber aliweza kukatiza katika zulia jengundu 'Red Carpet' akiwa na mpenzi wake rapa Wiz Khalifa.

Amber, 29, alikuwa amevaa gauni jeusi ambalo linaonyesha kwa asilimia kubwa ukubwa wa tumbo lake.

Wawili hao walionekana kuwa ni watu wenye furaha na matarajio makubwa kutokana na jinsi wakati wote walivyoonyesha kuwa katika mapenzi mazito kama vile ndio wamekutana.

Posted by Bigie on 6:59 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.