HUU NDO WARAKA WA UAMSHO UNAOCHOCHEA MACHAFUKO NA MAUAJI YA WAKRISTU HUKO ZANZIBAR


Huu   ndo waraka uliosambazwa Zanzibar ukichochea  mauaji  ya  wakristu  ambao  wao  wanawaita  "MAKAFIRI"....

Swali  la  kujiuliza  ni JE, SERIKALI  ILILITAMBUA  HILI?..Maana  hizi  ni  dalili  za wazi kwamba  mauaji haya  YALIPANGWA.

NB: Hatutegemei lawama  toka  upande  wowote.Palipo  na  lolote sisi  hufichua  kwa uwazi  ili  kuifahamisha  jamii...

Kuna  haja  gani  ya  kuuficha  ukweli?...Ni bora kuuanika  ili watanzania  wenzetu walioko  zanzibar wachukue  tahadhari  wakisubiri   msimamo  wa serikali.

Chanzo  cha  waraka  huu ni blog ya zanzibar.

Mtandao  huu umeupata waraka huu  kupitia JAMII FORUM.<<< BOFYA  HAPA>>>   


Posted by Bigie on 9:41 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.