"SIJAPEWA TALAKA NA MUME WANGU.....WAMBEYA ACHENI MAJUNGU"...SANDRA WA BONGO MUVI AFUNGUKA
habari za kitaifa, sandra 4:12 PM
SANDRA
Mwigizaji wa kike asiye na skendo nyingi kutoka kiwanda cha Bongomovie maarufu kwa jina Salma salmin a.k.a 'Sandra' ambaye kwa siku kadhaa zilizopita kulizagaa uvumi kuwa amepigwa talaka tatu na mumewe na hivyo kusababisha kutengana kwao, Jioni hii mrembo huyo kupitia kituo cha luninga cha Channel 5 afunguka na kulizungumzia swala hilo ambalo ni binafsia kwake.
