VIDEO YA "MACHAFUKO" YALIYOTOKEA BUNGENI LEO
habari za kitaifa 12:46 PM
Leo kulitokea mvurugano Bungeni mara baada ya Mbunge wa Ubungo, John Mnyika kutoa hoja yake, kitendo ambacho aliyekuwa akiongoza kikao hicho, Naibu Spika, Job Ndugai, alisema ameacha kiendelee ili Watanzania washuhudie.
Tafadhali bofya kifute cha pleya mojawapo kati ya mbili zilizopachikwa hapo, ili usikilize audio hii iliyorekodiwa jioni ya leo katika kipindi cha Yaliyotufikia cha WAPO FM radio.
Tafadhali bofya kifute cha pleya mojawapo kati ya mbili zilizopachikwa hapo, ili usikilize audio hii iliyorekodiwa jioni ya leo katika kipindi cha Yaliyotufikia cha WAPO FM radio.
Popout |
Wabunge wa upinzani wakiwa wamesimama wote kwa pamoja kupinga hoja Bungeni
Naibu Spika Bunge,Mh. Job Ndugai (kulia) akionyeshwa makabrasha na Mbunge wa Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassari muda mfui baada ya kuahurishwa kwa kikao cha Bunge leo.
Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Mh. Tundu Lissu (kulia} akijadiliana jambo na Naibu Spika wa Bunge,Mh. Job Ndugai nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo.Wengine ni Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Mh. Joshua Nassari na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Msigwa. (picha na Mwanakombo Jumaa - Maelezo.)