BAADHI YA PICHA ZA JENGO LA GHOROFA 16 LILILOPOROMOKA LEO JIJINI DAR
habari za kitaifa 9:00 AM

Baadhi ya watu waliowahi kufika kujaribu kutoa msaada bila mafanikio hapa wakiwa wamekwama baada ya kukosa vifaa vya kutosha.…


Baadhi ya watu waliowahi kufika kujaribu kutoa msaada bila mafanikio hapa wakiwa wamekwama baada ya kukosa vifaa vya kutosha.

Wahindi nao walikuwapo kutoa msaada.

Waokoaji wakijitahidi kutumia mikono kuondoa kifusi hicho ili kuweza kuwaokoa watu waliofukiwa.

Trekta likiondoa kifusi eneo la ajali.

...Waokoaji wakiwa hoi.

Juhudi zinaelekea kulala.

RAIS KIKWETE amemwagiza mkuu wa Mkoa DSM Said Meck na Kova kwamba Mwenye Jengo, Mhandisi wa jiji aliyetoa kibali cha ujenzi na Mhandisi Mkaguzi wote wapatikane (wakamatwe) na hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yao..