JACK WOLPER NA RADO WAJIPANGA KUTOKA NA "MAHABA NIUE"


Muigizaji wa filamu mwenye mvuto nchini, Jacquiline Wolper hivi karibuni ataonekana kwenye filamu mpya aliyoigiza na Simon Mwapagata maarufu kama Rado iitwayo Mahaba Niue.



Akiongea na mtandao wa bongomovies, Rado amesema katika kuwapa raha zaidi mashabiki wao, filamu hiyo itatoka na zawadi ya bure ya kalenda.

Filamu hiyo imetayarishwa na Step Entertainment.

Posted by Bigie on 12:31 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.