WEMA SEPETU NA MARTIN KADINDA NDANI YA PENZI JIPYA???
Posted by Bigie habari za kitaifa, martin kadinda, wema sepetu 3:16 AMWote tunafahamu kuwa Martin Kadinda ni meneja wa Wema Sepetu na wamekuwa na ukaribu kwa kipindi kirefu.
Lakini hizi picha alizozipost Martin kupitia Instagram hivi karibuni akiwa na Wema huko Afrika Kusini zimeanza kuleta minong’ono.Je, ni wapenzi au marafiki tu??ukiziangalia hizi picha namaeezo yakeutagundua kitu....!!!
Katika picha hiyo juu Martin aliiandikia, “I Heart em moments… She is spoiling me in a way I can’t say thank you and be enough.”
HUU NDO MOYO WA "CHUMA" WA JACK PATRICK USIO NA CHEMBE HATA MOJA YA HURUMA
Posted by Bigie BONGO MOVIE, habari za kitaifa, JACK PATRICK, martin kadinda 11:42 PMMATENDO anayofanya mwanamitindo Jackline Patrick wakati mumewe Abdullatif Fundikira akiteseka gerezani, yametajwa kuwa ni usaliti wa asilimia miamoja na kwamba kama hatajirekebisha, mwisho wake utakuwa mbaya.
Hayo yamekuja kufuatia hivi karibuni kupatikana kwa picha zinazomuonesha mwanadada huyo akiwa kimahaba zaidi na modo mwenzake wa kiume, Martin Kadinda huku mume wake akisota nyuma ya nondo.
Picha hizo zinawaonesha wawili hao wakiwa wamekumbatiana na kufanyiana mambo yasiyostahili kufanyika mbele za watu pale walipokuwa wakiogelea kwenye moja ya fukwe zilizopo jijini Dar na nyingine wakijiachia klabu.
HUYU NDO MUME WAKE AKIWA GEREZANI
HUYU NDO JACK AMBAYE NI "MKE WA MTU" AKILA BATA NA MWANAUME MWINGINE AMBAYE NI MARTINE KADINDA
.
Featured Post
NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne ambayo ni Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...






