BILLIONAIRE'S CLUB PART 1- MOVIE KALI YA KI NIGERIA



Weekend imeanza watu wangu na hivyo nimeona nianze kuwapa vitu motomoto kwa ajili ya mapumziko ya weekend
  Kwa siku kama ya leo naamini wengi wetu tupo na "watu wetu" katika mishe mishe za hapa na pale.Popote ulipo katika mapumziko yako,tafadhari pumzika na ngoma hii ya BILLIONAIRE'S CLUB.

Katika movie hii,mwanaume mmoja mme wa mtu anaamua kukimbilia kwa rafiki yake ambaye ni tajiri sana ili naye apate kujikwamua kiuchumi.Rafiki yake anamkubalia na kumwambia kuwa anatakiwa ajiumne na mtandao wao,lakini kwa sharti kwamba ni LAZIMA AMTOE MKE WAKE SADAKA!!..

NINI KILIENDELEA???  FUATILIA MOVIE HII KWA UMAKINI.

KAMA UNATAKA KUANGALIA PART 2,BOFYA HAPA   << PART 2>>>

Posted by Bigie on 6:48 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.