RIHANNA AINGIA KANISANI AKIWA NUSU UCHI


Mwanamuziki Rihanna Pichani juu, alitinga kanisani RIO Ijumaa iliyopita akiwa kwenye kivazi anachoonekana nacho hapo juu. Mwanadada huyu matata kwenye jukwaa la muziki amekuwa na vituko vingi sana kwa siku za hivi karubuni. Mbali na kuvaa half nacked mrembo huyu pia alivaa cheni aliyokuwa na maneno ma-nne kinyume na maadili ya kanisa hilo

Posted by Bigie on 5:06 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.