50 CENT YUPO MBIONI KUTOA MKANDA WA KIVITA UITWAO "THE PURSUIT" --HILI NI SIMULIZI FUPI LA MKANDA HUU
JAMII 7:48 PM
50 cent yupo mbioni kukamilisha mkanda wake wa kivita uitwao "THE PURSUIT" kupitia kampuni yake iitwayo "Cheetah Vision Films"
Mkanda huu wa kivita unaoongozwa na mwongozaji mahiri "Jessy Terrero" unahusu harakati za komamdoo 50 cent ambaye anaungana na askari kadhaa kumsaka mtu mmoja aliekuwa amevamia benki moja maarafu nchini Marekani kwa lengo la kulipiza kisasi
Akielezea katika hatua za awali za mkanda huu,Producer alisema kuwa tayari FIDDY amesha saini na kukubali kuwa ataigiza kama "askari" (cop).Aliongeza kwa kusema kuwa,mkanda huu wa kivita unategemewa kutoka mwezi wa pili mwakani (2012)






