BASI LA LINDI LAJERUHI WATU 35




Abiria  waliokuwa wakisafiri na basi la Ng'itu lenye No.T804 BAF wamenusurika kifo baada ya gari lao  kupata ajali katika kijiji cha Sinza - Miteja katika wilaya ya Kilwa mkoani Lindi. Katika ajali hiyo watu 35 wamejeruhiwa vibaya  na kuwahishwa kwenye hospital jirani kwa matibabu. Ajali hiyo imeshuhudiwa na watu wengi wakiwemo wakuu wa Mikoa ya Dar es salaam na Mkuu mpya wa Mkoa wa Lindi ambao walikuwa katika Makabidhiano ya Mkoa  huo.

Posted by Bigie on 2:03 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.