ISABELA AMBAYE JUZI ALIVUA NGUO ZOTE HADHARANI ATAMBA KUWA LULU MICHAEL HAMUWEZI " KIMAPENZI"


 Msanii wa kuigiza ambae anakuja juu kwa skendo za kuacha watu midomo wazi ( Isabela a.k.a Vai wa ukweli) amefunguka kwa kusema yeye ni zaidi ya lulu na huwezi kumlinganisha na Mtoto mdogo Elizabeth a.k.a Lulu,"am next level Lulu haniwezi hata kimapenzi niko juu.
 
"Najua sana mapenzi kuliko kuigiza so najivunia kuwa na vipaji vingi kadri siku zinavyokuja ntaviweka hadharani" alitamba isabela.

 
  Wadodosaji wa habari za kichokonozi wanadai kuwa Pamoja na umahiri wa Lulu kuwa na wanaume tofautitofauti aliwahi kuzimia  pindi alipokutana kimaungo na msanii wa Hip hop wa siku nyingi na aliewahi kutangaza katika kituo cha televisheni ya vijana  na hivyo hakutaka kurudi kwa msanii huyo tena.

    
vai wa ukweli akijishebedua kwa ishala,watu wazima mtaelewa nini anachoongea .Binti huyu mdogo kabisa kiumri  amevamia sanaa ya uigizaji kwa maskendo mazito.
    WAPEKUZI  tunaendelea kumtafuta  Lulu nae tuone anasemaje kuhusu hili   

    Juzi kati,binti huyu alilipotiwa kunywa pombe kupita kiasi hali iliyopelekea  kuvua nguo zote hadharani na kubaki na "tight tu" 

Isabela "Vai wa Ukweli" akiwa chakali kwa mitungi.
 Nguo zilikuwa nzito akaona bora apunguze uzito



BREAKING NEEEEWZ


1. MBINU 5 ZA KUMTAMBUA MWANAMKE ANAYEKARIBIA KUMUACHA MWANAUME.  << BOFYA HAPA>>

 

2. LULU ATEMBEA NA WANAUME KUMI      

 <<BOFYA HAPA KWA TAARIFA ZAIDI>> 

3.  AUNT LULU APARAMIA POMBE NA KUFANYA MAMBO YASIYO NA HESHIMA HADHARANI.

<<BOFYA HAPA KWA HABARI ZAIDI>>


Posted by Bigie on 7:11 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.