MATOKEO IGUNGA: FURAHA YATAWALA KWA VIONGOZI NA WANACHAMA WA CCM BAADA YA KUIBUKA KIDEDEA: PICHA ZA TUKIO ZIMA

Mgombea wa jimbo la Igunga kupitia CCM Dr. Peter Kafumu. 
Jopo la wataalam wa CCM wakijumlisha matokeo usiku wa kuamkia leo, kutoka kwa mawakala wa CCM kutoka vituo mbalimbali baada ya uchaguzi mdogo jimbo la Igunga kumalizika. Hadi sasa matokeo yanaonyesha kwamba CCM imeongoza

Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama na Katibu wa NEC Uchumi, Fedha, Mwigulu Nchemba na baadhi ya watu waliokuwa katika hoteli ya The Peak mjini Igunga wakishangiliabaada ya kupata matokeo ya awali kutoka kwenye vituo kwamba CCM inaongoza
Mkurugenzi wa Tanzania One Theatre (TOT) John Komba aking'ang'aniwa kwa furaha na watu waliopata matokeo ya awali kuwa CCM imeshinda

Katibu wa NEC, Oganaizesheni Asha Abdallah Juma (katikati) akishangilia pamoja na wana-CCM wengine katika hoteli ya The Peak mjini Igunga baada ya kupata matokeo

Posted by Bigie on 11:15 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.