MELI YA KIVITA TOKA AFRIKA KUSINI YATIA NANGA DAR ES SALAAM


 Meli ya Kijeshi kutoka Afrika Kusini SAS DRAKENSBERG ikiwa imetia nanga katika bandari ya Dar es salaam kwa ajili ya mazoezi ya kijeshi ya nchi za SADC ikiwa na wanajeshi wa Kenya,Msumbiji,Tanzania,Zimbabwe na wenyewe Afrika Kusini.



Posted by Bigie on 7:37 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.