MWANZILISHI WA APPLE AFARIKI DUNIA. MASTAA KIBAO WAMLILIA.. UNGANA NAMI UONE WANASEMAJE!

     Mwanzilishi wa kampuni ya  Apple  Steve Jobs amefariki dunia leo baada ya kupambana na ugonjwa wa saratani na hatimaye kusalimu amri kwa miaka minane. Rambirambi kibao zimeanza kumiminika dakika chache baada ya kutangazwa kwa kifo cha gwiji huyu ambaye ndiye aliyebuni siku za iPhone pamoja na Ipad na Ipod. Amekufa akiwa na umri wa miaka 56
     Mara baada ya tangazo la msiba huo kutolewa na kampuni ya Apple, Mastaa kibao walitoa  machungu na vilio vyao katika mtandao wa Twitter  kama unavyoona  hapa chini 



    kylie minogue (@kylieminogue): From my Mac to all Lovers…..RIP Steve Jobs


   Jordin Sparks (@JordinSparks): OMG! Steve Jobs. : (


    Lupe Fiasco (@LupeFiasco): RIP Steve Jobs



   blink182 (@blink182): RIP Steve Jobs. Thanks for everything that you have done for the music business and the world http://bit.ly/naQsj0


  Tinie Tempah (@TinieTempah): Steve Jobs!


   OneRepublic (@OneRepublic): R.I.P STEVE JOBS. WE ARE SPEECHLESS AND BEYOND SADDENED. ONE OF THE GREATEST MINDS OF OUR TIME. DAMMIT



  josh groban (@joshgroban): Such a sad day, I can trace my apple memories to the IIC when i was a kid. RIP


   Jared Followill (@youngfollowill): RIP Steve Jobs. You changed many lives in a lot of ways.


    Pete Wentz (@petewentz): RIP steve jobs. true legend.



  Al Yankovic (@alyankovic): RIP Steve Jobs. Thanks for improving life as we know it.


   Ameriie 에므리 (@ItsAmeriie): Steve Jobs was a visionary, whose imagination propelled us all into the future, impacting the course of human history forever.


   the ready set (@thereadyset): Damn. Super bummer about Steve Jobs. Thanks for products that helped me create TRS.



    Stephen Jerzak (@stephenjerzak): R.I.P. Steve Jobs!


Posted by Bigie on 7:00 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.