MWANZILISHI WA KAMPUNI YA APPLE, STEVE JOBS AFARIKI DUNIA


Mwanzilishi wa kampuni ya  Apple  Steve Jobs amefariki dunia leo baada ya kupambana na ugonjwa wa saratani na hatimaye kusalimu amri kwa miaka minane. Rambirambi kibao zimeanza kumiminika dakika chache baada ya kutangazwa kwa kifo cha gwiji huyu ambaye ndiye aliyebuni siku za iPhone pamoja na Ipad na Ipod. Amekufa akiwa na umri wa miaka 56
 Marehemu Steve Jobs alipokuwa anazindua iPad
 Picha ya Mwisho: Marehemu Steve Jobs akisindikizwa na rafiki yake kuelekea hospitali Agosti 26 mwaka huu nyumbani kwake California

Posted by Bigie on 6:34 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.