WAREMBO WANASWA WAKISAGANA LIVE
JAMII 12:01 AM
Miss Ruvuma 2005 ambaye alishiriki kinyang’anyiro cha Miss Tanzania mwaka huo na kuangukia pua, Isabella Mpanda ‘Bella’ amefumwa ‘laivu’ akifanya vitendo vya kisagaji na rafiki yake aliyetajwa kwa jina moja la Jack
Bella asiyekuwa na tone la aibu alinaswa akijihusisha na uchafu huo wa kufedhehesha ndani ya Ukumbi wa Mzalendo Pub Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ ilikuwa ikifanya makamuzi.
Katika tukio hilo, wakati Wazee wa Kizigo wakikamua stejini, shuhuda wa tukio hili aliwapiga chabo warembo hao wakiwa wamejibanza kwenye mwanga hafifu nyuma ya ukumbi huku wakishikana sehemu nyeti kwa staili ya ‘baba na mama’.
Kwa mujibu wa mkanda wa picha unaoshikiliwa na gazeti maarufu hapa nchini la Risas , Bella , alionekana kucheza nafasi ya mwanamke huku Jack akichukua uhusika wa mwanaume katika sinema hiyo .
Katika tukio hilo lisilovumilika, wasichana hao walionekana kushikana sehemu nyeti na baadaye ‘walianza kupigana denda’ bila kujali watu waliokuwa wakiwatemea mate chini kwa kushindwa kuwavumilia.
Baada ya ‘kuwapiga’ picha za kutosha kwa ajili ya ushahidi wa uchafu wao, paparazi wa gazeti hilo aliwafuata ili kupata mzani wa tukio hilo ambapo mbali na kupigwa na butwaa kwa aibu wakijua kuwa ishu ‘imesanuka’, wawili hao waliokuwa wamekumbatiana waliachiana, wakawa wanategeana kuzungumza.
Bella asiyekuwa na tone la aibu alinaswa akijihusisha na uchafu huo wa kufedhehesha ndani ya Ukumbi wa Mzalendo Pub Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ ilikuwa ikifanya makamuzi.
Katika tukio hilo, wakati Wazee wa Kizigo wakikamua stejini, shuhuda wa tukio hili aliwapiga chabo warembo hao wakiwa wamejibanza kwenye mwanga hafifu nyuma ya ukumbi huku wakishikana sehemu nyeti kwa staili ya ‘baba na mama’.
Kwa mujibu wa mkanda wa picha unaoshikiliwa na gazeti maarufu hapa nchini la Risas , Bella , alionekana kucheza nafasi ya mwanamke huku Jack akichukua uhusika wa mwanaume katika sinema hiyo .
Katika tukio hilo lisilovumilika, wasichana hao walionekana kushikana sehemu nyeti na baadaye ‘walianza kupigana denda’ bila kujali watu waliokuwa wakiwatemea mate chini kwa kushindwa kuwavumilia.
Baada ya ‘kuwapiga’ picha za kutosha kwa ajili ya ushahidi wa uchafu wao, paparazi wa gazeti hilo aliwafuata ili kupata mzani wa tukio hilo ambapo mbali na kupigwa na butwaa kwa aibu wakijua kuwa ishu ‘imesanuka’, wawili hao waliokuwa wamekumbatiana waliachiana, wakawa wanategeana kuzungumza.
Alipoendelea kuwabana, Bella alifyatuka: “Hebu futika mbele yetu, nani amekutuma kutufuatilia kwenye ‘praiveti’ yetu? Ondoka kabla hatujakuita mwizi.”
CHANZO: GLOBAL PUBLISHER










