DR. KIKWETE AWAAPISHA MWENYEKITI, MAKAMU MWENYEKITI NA MKURUGENZI WA TUME YA UCHAGUZI


Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Jaji Damian Lubuva kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi jana katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam
Rais kikwete akimwapisha Jaji Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid kuwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Julius Benedicto Mallaba kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi 
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na makamishna wa Tume ya Uchaguzi
Rais Kikwete na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali na Jaji Mkuu Mh Mohamed Chande Othman na viongozi wapya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Rais Kikwete akiwa na makamishna wa Tume ya Maadili
Rais Kikwete akipozi na familia ya Jaji Damian Lubuva
Rais Kikwete akipozi na familia Jaji Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid

Makamu wa rais Dkt  Mohamed Ghalib Bilali akipozi na Jaji Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid na mkewe mama Ummy Hamid
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi akivishwa shada na Mh Hillary Mkatte
Rais Kikwete akipozi na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba pamoja na Jaji Damian Lubuva na wake zao
Rais Kikwete akiongea baada ya kuapisha viongozi hao wa tume

Posted by Bigie on 1:34 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.