DR. KIKWETE AWAAPISHA MWENYEKITI, MAKAMU MWENYEKITI NA MKURUGENZI WA TUME YA UCHAGUZI
JAMII 1:34 AM

Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Jaji Damian Lubuva kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi jana katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam

Rais kikwete akimwapisha Jaji Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid kuwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi

Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Julius Benedicto Mallaba kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi

Rais Kikwete katika picha ya pamoja na makamishna wa Tume ya Uchaguzi

Rais Kikwete na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali na Jaji Mkuu Mh Mohamed Chande Othman na viongozi wapya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi

Rais Kikwete akiwa na makamishna wa Tume ya Maadili

Rais Kikwete akipozi na familia ya Jaji Damian Lubuva

Rais Kikwete akipozi na familia Jaji Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid


Makamu wa rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali akipozi na Jaji Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid na mkewe mama Ummy Hamid

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi akivishwa shada na Mh Hillary Mkatte

Rais Kikwete akipozi na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba pamoja na Jaji Damian Lubuva na wake zao

Rais Kikwete akiongea baada ya kuapisha viongozi hao wa tume






