Balozi wa Rwanda nchini awasilisha hati ya utambulisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje

Balozi Mteule wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Dkt. Benjamin M. Rugangazi akiwasilisha nakala za hati za utambulisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (MB) ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.
Mhe. Bernard K. Membe (MB), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa katika mazungumzo na Balozi Mteule wa Rwanda hapa nchini, Mhe. Dkt. Benjamin M. Rugangazi baada ya Balozi huyo kuwasilisha nakala za hati za utambulisho ofisini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam.

Posted by Bigie on 6:45 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.