LEO TUTAKULETEA MWENDELEZO WA KESI YA LULU MICHAEL TOKA MAHAKAMA YA KISUTU.....ENDELEA KUWA NASI



Kesi ya kuhusika na mauaji ya Steven Charles Kanumba inayomkabili Elizabeth Michael “Lulu” inatarajiwa kutajwa tena leo  tarehe 23/04/2012 jijini Dar-es-salaam baada ya kuwa imeshatajwa mara moja na upande wa mashitaka kudai kuendelea na uchunguzi na hivyo mtuhumiwa Lulu kuendelea kusota rumande.
Tunaahidi kukulea taarifa zote zitakazojiri leo

Posted by Bigie on 7:03 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.