MZIMU WA KANUMBA WAMTOKEA BABY MADAHA


MSANII anayefanya vyema kunako gemu la muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha (pichani) amedai kutokewa na mzimu wa Kanumba akimweleza bado hajafa ni maneno ya watu tu.

Akichezesha taya na mpekuzi  wetu jijini Dar juzikati, Baby Madaha alisema alitokewa na Kanumba usiku wa Ijumaa iliyopita ambapo walizungumza mambo mengi huku marehemu huyo akimhakikishia kwamba hajafa, “Lakini cha kushangaza alikuwa amejipulizia marashi ya maiti,” alisema Baby Madaha.

Aliendelea kusema kuwa wakati wa maongezi yao walikuwa wamekumbatiana, aliposhtuka alijikuta akitetemeka huku jasho jembamba likimchuruzika.

Posted by Bigie on 11:09 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.