Kuna kumpa mtoto kazi ajifunze, halafu kuna hii...
habari za kitaifa, JAMII 11:03 PM
..ambayo ni zaidi ya ajira kwa watoto. Hivi ni kumkomaza na kumdumaza mtoto kiafya. Hebu tuwe makini tunapowapa watoto kazi "chores" kwa ajili ya kuwafunza kukabiliana na majukumu ya kimaisha. Haya mengine watakutana nayo wakizembea kujifunza utotoni na ujanani, si kuwapa shubiri hii.





