MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU KUTOKA KWA MWL MWAKASEGE SASA YANAPATIKANA ONLINE





Tunapenda kuwafahamisha watu wote kuwa mafundisho ya neno la Mungu kutoka kwa mwalimu Christopher Mwakasege sasa yanarushwa online kila siku saa 10 na nusu usiku na kurudiwa jioni na saa 10 na nusu (saa za
Tanzania), katika link zifuatazo:

Kwa wenye PC tumia:

Kwa wenye Mac na Linux tumia:

Kumbuka ni kila siku saa 01:30GMT na kurudiwa 13:30GMT (Saa za Marekani ni 09:30 Eastern na kurudiwa 21:30 Eastern).

Mdau Kavishe

Posted by Bigie on 3:09 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.