MBUNGE PROF MSOLLA NA AIRTEL WAZIPIGA JEKI SHULE ZA SEKONDARI KILOLO


Mbunge wa jimbo la Kilolo Prof Peter Msolla kulia akimkabidhi mkuu wa shule ya sekondari Maria Consolata Udzungwa Bw Mufwalamagoha Kibasa msaada wa vitabu vilivyotolewa na kampuni ya simu ya Airtel katika jimbo hilo
 Prof Msolla akionyesha moja kati ya vitabu vya kiada vilivyotolewa na kampuni ya simu ya Airtel
Mbunge wa jimbo la Kilolo Prof Peter Msolla na mwakilishi wa Airtel mkoa wa Iringa Hildegrad Ntamuturano (kushoto) wakikabidhi msaada wa kompyuta kwa ajili ya shule ya sekondari Mazombe

Posted by Bigie on 10:42 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.