MBUNGE WA MONDULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA MTO WA MBU

 Waziri Mkuu Msataafu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akisikiliza swali kutoka kwa mwananchi Mkazi wa Mto wa Mbu, mkoani Arusha juu ya kero mbalimbali zinazowakabili za kiusalama. Lowassa alifanya ziara hiyo jana ya kuzungumza na wapiga kura wake.
 Mbunge Lowassa akisikiliza majibu kwenda kwa wananchi yaliyokuwa yakitolewa na Mkuu wa Kituo cha Polisi Mto wa Mbu, Mrakibu wa Polisi (SP) Morris Okinda
 Lowassa Akihutubia wananchi katika Mkutano huo wa Hadhara
Mbunge wa Jimbo la Monduli Edward Lowassa akizungumza na kusalimia wananchi katika eneo la Mto wa Mbu wakati wa mkutano wake wa hadhara.

Posted by Bigie on 4:48 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.