Picha za mbunge wa Rombo, Joseph Selasini na mkewe Digna Kavishe hospitalini KCMC


Picha za Mbunge wa Rombo (CHADEMA) Joseph Selasini na mkewe Digna Kavishe waliopatwa na ajali juzi, ambao hivi sasa wamelazwa katika hospitali ya KCMC kwa matibabu zaidi.

Watu mbalimbali wanaruhusiwa kufika hospitalini hapo kuwajulia hali na kuwapa mkono tu, si kwa mazungumzo, kwa kuwa wagonjwa wanahitaji mapumziko makubwa ili kuhifadhi nguvu ya mwili ambayo ni sehemu ya matibabu.

Picture
Mbunge Joseph Selasini wa Rombo akiwa amelala kitandani (picha: Rodrick Mushi)

Picture
Digna Kavishe, mkewe Joseph Selasini akiwa amelala kitandani (picha: Rodrick Mushi)




Posted by Bigie on 8:48 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.