SIKU CITY SPORTS LOUNGE ILIPOZINDULIWA

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Mh. Januari Makamba, akizungumza na William Malecela, pembeni ni mkewe Mheshimiwa, Mrs. Makamba, kwenye ufunguzi wa City Sports Lounge. Kiota cha Uhakika kilichopo karibu na Mzungungo wa Askari katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Siku ya Ufunguzi wa City Sports Lounge, picha za wananchi mbali mbali waliohuduria wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Club, Bw. JumaPinto, (mwenye fulana ya kijani), hapa chini aliyesimama ni Mjumbe wa UV-CCM, Taifa, Mh. Ridhiwani Kikwete.

Posted by Bigie on 12:56 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.