TUNAOMBA JAMII ISITUTENGE JAMANI...


MAPACHA wa Nollywood, Chidiebere na Chidinma Aneke wamewaomba watoto wasiwakimbie wanapowaona mitaani kwa vile wanachoigiza kwenye runinga si maisha yao halisi.

Wasanii hao wamedai kuwa ni watoto wachache sana ambao wamekuwa wakithubutu kuwasogelea kwani wamekuwa wakidhani kwamba wana roho mbaya na wakatili kwa watoto kama walivyofanya katika baadhi ya filamu zao.

"Watoto hawataki kabisa kuamini kwamba sisi ni marafiki zao. Hawaamini kwamba yale ni maisha ya kufoji, wakituona wanakimbia na kudhani ni wauaji.  Msanii unavyoigiza kama mtu mwenye roho mbaya, jamii inakutafsiri tofauti."

Posted by Bigie on 11:41 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.