UPDATE: WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI WAMEITWA IKULU MCHANA HUU. KUNA NINI?? ....ENDELEA KUWA NASI
JAMII 5:43 AM

Wahariri wa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam leo wameitwa kuwepo Ikulu Magogoni ifikapo saa 9:00 alasiri,tukio ambalo linatafsiriwa kuwa huenda ni kutangazwa kwa baraza jipya la mawaziri.
*Kwa habari zaidi ungana nasi Baadaye
*Kwa habari zaidi ungana nasi Baadaye





