WILFRED AWASILI MKOANI KILIMANJARO

 Wilfred Moshi ambaye ni Mtanzania wa kwanza kufika kilele cha mlima mrefu

kiliko yote duniani amewasili jana saa saba mchana Nchini. Tunamshukuru
sana Mungu kwa kumlinda.

Wilfred Moshi akilakiwa na ndugu, jamaa na marafiki
Wilfred Moshi akiongea na waandishi wa habari (Picha na Mdau Rodrick Mmary Moshi)

Posted by Bigie on 1:53 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.