HUDUMA YA AIRTEL SUPA 5 YAZINDULIWA KWA KISHINDO MJINI MOROGORO‏


Msanii wa Hip Hop, Roma Mkatoliki akighani jukwaani kuburudisha umati wa wakazi wa Morogoro waliofurika uwanja wa shule ya msingi - Uwanja wa Ndege kushuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel Supa5 yenye lengo la kutoa huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano kupitia Airtel. Huduma hiyo itatambulishwa hivi karibuni katika mkoa wa Iringa, Arusha na Mwanza.


Wasanii wa kundi maarufu nchini la Tip Top Connection lenye makazi yake Manzese, jijini Dar es Salaam, Madee na Tundaman  wakiimba jukwaani kuburudisha umati wa wakazi wa Morogoro waliofurika uwanja wa shule ya msingi - Uwanja wa Ndege kushuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel Supa5 yenye lengo la kutoa huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano kupitia Airtel.


Wasanii wa bendi ya Mashujaa wakiongozwa na rais wao (aliyevaa suruali nyeupe), Charles Baba a.k.a Kingunge wakiwasha moto jukwaani kuburudisha umati wa wakazi wa wa Morogoro waliofurika uwanja wa shule ya msingi - Uwanja wa Ndege kushuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel Supa5 yenye lengo la kutoa huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano kupitia Airtel.

Sehemu ya umati wa wakazi wa Morogoro waliofurika uwanja wa shule ya msingi - Uwanja wa Ndege kushuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel Supa5 yenye lengo la kutoa huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano kupitia Airtel.
Meneja Mauzo wa kampuni ya simu za mikononi ya Airtel - Morogoro, Aluta Kweka akimkabidhi simu aina ya Sumsung mmoja wa wateja wa Airtel, Mbesa Baraka ikiwa ni sehemu ya zawadi mara baada ya kununua modem mbili za Airtel 3.75G, wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel Jiunge na Supa5 iliyofanyika jana kwenye uwanja wa shule ya msingi-Uwanja wa Ndege mkoani Morogoro. Airtel Jiunge na Supa 5 Ilizinduliwa kwa mara ya kwanza jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Ukitaka kujiunga na huduma hiyo ANDIKA SMS YENYE NENO ‘WIKI’ KWENDA 15548.
Mkazi wa Morogoro, Sarafina Millak akikabidhiwa simu aina ya Sumsung na Meneja Mauzo wa Airtel kanda ya Pwani, Aminata Keita mara baada ya kuibuka kinara wa kucheza ‘sebene’ la bendi ya Mashujaa, wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel Jiunge na Supa5 iliyofanyika jana kwenye uwanja wa shule ya msingi-Uwanja wa Ndege mkoani Morogoro. Airtel Jiunge na Supa 5 Ilizinduliwa kwa mara ya kwanza jijini Dar es Salaam hivi karibuni.Ukitaka kujiunga na huduma hiyo ANDIKA SMS YENYE NENO ‘WIKI’ UTUME KWENDA 15548.

Wateja wa Airtel wakiwa na zawadi zao za simu aina ya Sumsung mara baada kununua modem za Airtel zenye kasi ya 3.75G, shoto ni Meneja Mauzo wa kampuni ya simu za mikononi ya Airtel - Morogoro, Aluta Kweka.

Posted by Bigie on 10:21 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.