MWAKASEGE AFUNDISHA SEMINA YA NENO LA MUNGU,JUNE 1-3 NI ZAMU YA DALLAS, TEXAS.

 Mchungaji na Mwalimu Christopher Mwakasege akitoa Semina ya neno la Mungu alipokua Minnesota, Nchini Marekani, Wiki hii kuanzia June 1- 3, 2012 atakua Dallas, Texas.
 Watanzania waliojumuika pamoja kwenye Semina ya Mchungaji Christopher Mwakasege.
 Juu na chini ni Kikundi cha muziki wa Injili kikitumbuiza kwenye semina hiyo.

Posted by Bigie on 4:39 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.