MBUNGE WA MBEYA MJINI AJA NA NGOMA MPYA “HAKUNA MATATA”
habari za kitaifa, sugu 1:03 AM
Msanii wa Hip Hop nchini na pia ni mbunge wa Mbeya mjini kupitia chama cha Chadema JOSEPH MBILINYI alias Sugu, ameachia rasmi ngoma yake mpya kwa wewe shabiki wake na jina la ngoma hiyo inafahamika kama “Hakuna matata”......
Icheki hapo chini






